>

KITAWAKA SIMBA VS JKT TANZANIA KWENYE UWANJA WA MBWENI

LIGI kuu ya NBC Tanzania bara inaendelea tena leo Februari 15, 2024 kwa mechi tatu.

16:00 • JKT Tanzania vs Simba SC
🏟️ Meja Jenerali Isamuhyo

16:00 • Tanzania Prisons vs Singida FG FC
🏟️ Sokoine, Mbeya

20:15 • Coastal Union vs Dodoma Jiji FC
🏟️ Mkwakwani, Tanga

▪️Mchezo wa JKT Tanzania dhidi ya Wekundu wa Msimbazi, Simba SC utapigwa katika uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Mbweni Jijini Dar es Salaam.

▪️Unamudu kubeba mashabiki 4000 ingawa katika mchezo huu mashambiki 200 tu ndio watakaopata nafasi ya kukaa kwa kuwa bado upo kwenye matengenezo wengine watasimama.

▪️Hii ni mechi ya kwanza ya kiushindani kwa Simba Sc kwenye uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo.