SADIO Kanoute ni miongoni mwa mastaa wa Simba ambao wapo na kikosi Moshi kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Polisi Tanzania.
Nyota huyu alikosekana kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Mbeya City kwa kuwa hakuwa fiti.
Nyota huyu alikosekana kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Mbeya City kwa kuwa hakuwa fiti.