Azam FC Yaendeleza Ubabe Dhidi ya Simba, Yadumisha Rekodi ya Kutopoteza
Klabu ya Azam FC imeendelea kuonesha ubora wake msimu huu baada ya kutoka sare ya bila kufungana dhidi ya Simba SC katika mchezo uliopigwa kwenye dimba la Azam Complex. Matokeo hayo yanaifanya Azam FC kuendeleza rekodi yao ya kutopoteza (unbeaten) msimu huu, huku ikiwa ni mara ya pili kuwazuia Simba SC kupata ushindi baada ya…