Taifa Stars yaichakaza Macau 6-0, yakamilisha FIFA Series kwa kishindo
Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, imehitimisha michuano ya kirafiki ya FIFA Series 2026 ikiwa katika nafasi ya tatu kwenye Kundi B, baada ya kuibuka na ushindi mkubwa wa mabao 6-0 dhidi ya Macau katika uwanja wa Kigali Pelé Stadium. Katika mchezo huo uliopigwa jijini Kigali, Taifa Stars walionesha kiwango cha juu cha mchezo…