Yanga SC yadunda na rekodi yake, Pedro kujadiliwa

Yanga SC chini ya Kocha Mkuu Pedro Goncalves inaendelea kundunda na rekodi yake kuwa miongoni mwa timu ambazo hazijafungwa ndani ya NBC Premier League, 2025/26. Timu hiyo imecheza jumla ya mechi 16 ikipata ushindi kwenye mechi 11, sare 5 ikiwa haijapoteza mchezo. Imekusanya jumla ya pointi 38 ndani ya ligi mchezo wake wa 16 iligawana…

Read More

Elie Mpanzu Asaini Mkataba Mpya wa Miaka Miwili Simba

Kiungo mshambuliaji wa kimataifa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Elie Mpanzu, ameongeza mkataba mpya wa miaka miwili kuendelea kuitumikia Simba hatua inayoimarisha kikosi hicho kuelekea msimu ujao wa mashindano ya ndani na kimataifa. Mpanzu, ambaye amekuwa sehemu muhimu ya kikosi cha Simba kutokana na uwezo wake wa kiufundi na mchango wake uwanjani, ameonesha nia…

Read More

TVBET Yatoa Fursa Mpya ya Michezo ya Kasino ya Haraka Meridianbet

Wapenzi wa michezo ya kasino wamekua wakitafuta burudani inayoweza kuwapa matokeo haraka bila kusubiri kwa muda mrefu. Meridianbet imejibu hitaji hilo kwa kuleta TVBET, mfumo wa michezo mubashara unaowapa wachezaji nafasi ya kucheza raundi nyingi ndani ya muda mfupi na kufurahia matokeo yanayotokea papo hapo. Kupitia TVBET, wachezaji wanaweza kushiriki michezo maarufu na yenye msisimko…

Read More