Wembley Kuwaka Moto: Arsenal na Manchester City Kugombea Kombe la Carabao
Leo hii Dunia inaenda kushuhudia bingwa ambaye ataondoka na Kombe la EFL au Carabao kama ambavyo wengi tumezoea. Ni Arsenal au Manchester City kunyanyua kwapa leo? Mechi hii itapigwa pale Wembely majira ya saa 1:30 kwa saa za Afrika Mashariki huku watu wengi wakiaamini kuwa City chini ya Pep Guardiola wanaenda kupoteza mchezo huu kutokana…