Kikosi cha Taifa Stars kitakachoingia kambini Machi 22, 2026 kujiandaa na michezo miwili ya FIFA Series 2026 itakayofanyika Kigali, Rwanda.
🔥 Macho yote yataelekezwa Kigali kuona kama Stars itaweza kung’ara na kuonyesha makali yake kimataifa.

Kikosi cha Taifa Stars kitakachoingia kambini Machi 22, 2026 kujiandaa na michezo miwili ya FIFA Series 2026 itakayofanyika Kigali, Rwanda.
🔥 Macho yote yataelekezwa Kigali kuona kama Stars itaweza kung’ara na kuonyesha makali yake kimataifa.
