Wababe wawili wamegawana pointi kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi baada ya kutamatika ndani ya dakika 90.
Sheria 17 zilikuwa zikisimamiwa na mwamuzi Nassoro Mwinchui kutoka Tanga ambaye amefanya kazi yake kwa ushirikiano na waamuzi wengine waliokuwa kwenye orodha.
Mnyama alikutwa kwenye mtego kipindi cha pili kupitia Seleman Mwalimu ambaye bao lake lililofutwa limekuwa gumzo.
Dakika ya 90
Dakika ya 80
Dakika ya 61 ya mchezo
Kipindi cha pili kimeanza
Yanga SC mashuti yaliyolenga lango 2-3 Simba SC
Yanga SC mashuti ambayo hayajalenga lango ni 3-3 Simba SC
Mapigo ya kona ni Yanga SC 1-1 Simba SC
Dakika ya 53 ya mchezo
Dakika ya 45
Dakika ya 42
Dakika ya 33
Umiliki Yanga SC 50% Simba SC
Mashuti yaliyolenga lango Yanga SC 0-3 Simba SC
Mapigo ya kona Yanga SC 0-1 Simba SC
Mashuti ambayo hayajalenga lango ni Yanga SC 1-2 Simba SC
Dickson Job ameshindwa kuendelea na mchezo nafasi yake imechukuliwa na Bakari Nondo dakika ya 37.
***
Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo na Moyo Wangu Unavuja Damu. Kuvipata TUNAOMBA ODA 0756 028 371.
Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo ni simulizi inayozungumzia maisha ya Kiafrika, usaliti, visa, furaha. Wakazi wa Njombe kitabu kinapatikana Mtaa wa Mpechi kwa Chris Jabari, Kigamboni kwa Tupokigwe, Posta karibu na Mnara wa Askari ukiwa unaelekea chuo cha IFM. Kuna kazi mpya inaandaliwa inaitwa Msichana wa Maisha Yangu, jiandae kuipata.