Live: Yanga SC 0-0 Simba SC, NBC Premier League
FT: Yanga SC 0-0 Simba SC, NBC Premier League Uwanja: New Amaan Complex Saa: 2:15 usiku. Wababe wawili wamegawana pointi kwenye mchezo wa Kariakoo Dabi baada ya kutamatika ndani ya dakika 90. Sheria 17 zilikuwa zikisimamiwa na mwamuzi Nassoro Mwinchui kutoka Tanga ambaye amefanya kazi yake kwa ushirikiano na waamuzi wengine waliokuwa kwenye orodha. Mnyama…