Tanzania Prisons 0-2 Simba SC ni matokeo yaliyopita kwa mnyama. Kwenye mechi 5 za hivi karibuni, Simba SC imepata ushindi mechi 3 na sare mechi 2. Tanzania Prisons haijawa kwenye ubora na katika mechi 5, ushindi moja, sare moja na kupoteza mechi 3.
Watupiaji ni Seleman Mwalimu dakika ya 19 na Rushine de Reuck dakika ya 45 kwa mkwaju wa penati. Kituo kinachofuata kwa Simba SC ni Februari 25 itakuwa Dodoma Jiji vs Simba SC, Uwanja wa Jamhuri.
Matokeo ya mechi za Tanzania Prisons NBC Premier
02/02/2026
Mtibwa Sugar
2
1
Tanzania Prisons
10/02/2026
Tanzania Prisons
1
4
Coastal Union
06/02/2026
Mashujaa FC
0
0
Tanzania Prisons
14/02/2026
Tanzania Prisons
3
2
Namungo FC
22/02/2026
Tanzania Prisons
0
2
Simba SC
Matokeo ya Simba SC NBC Premier League
07/12/2025
Simba SC
0
2
Azam FC
18/01/2026
Simba SC
1
1
Mtibwa Sugar
29/01/2026
Simba SC
2
0
Mashujaa FC
11/02/2026
KMC FC
0
2
Simba SC
22/02/2026
Tanzania Prisons
0
2
Simba SC
Vinara wa ligi ya NBC Premier League ni JKT Tanzania yenye pointi 28 baada yakucheza mechi 16, nafasi ya pili ni Yanga SC ambao ni mabingwa watetezi wana pointi 25 mechi 9.
***
Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo na Moyo Wangu Unavuja Damu. Kuvipata TUNAOMBA ODA 0756 028 371.
Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo ni simulizi inayozungumzia maisha ya Kiafrika, usaliti, visa, furaha. Wakazi wa Njombe kitabu kinapatikana Mtaa wa Mpechi kwa Chris Jabari, Kigamboni kwa Tupokigwe, Posta karibu na Mnara wa Askari ukiwa unaelekea chuo cha IFM. Kuna kazi mpya inaandaliwa inaitwa Msichana wa Maisha Yangu, jiandae kuipata.