Simba SC Yazindua Kampeni ya Ushindi Dhidi ya Esperance
Semaji Ahmed Ally, kiongozi wa Simba Sports Club, amewahimiza Wanasimba kuacha lawama na migawanyiko, na kuungana kama “Nguvu Moja” kuelekea mchezo muhimu wa Jumapili dhidi ya Esperance ya Tunisia. Akizungumza na Wanasimba kutoka Tawi la Wekundu wa Kurasini Mji Mpya, Semaji alisema kuwa mashabiki ndio nguzo ya msingi ya timu, na ndio sababu kiingilio kwa…