Chelsea yamtangaza Liam Rosenior kuwa kocha mkuu mpya

Klabu ya Chelsea imethibitisha kumteua mkufunzi Liam James Rosenior kuwa kocha mkuu mpya klabuni hapo akichukua mikoba ya Enzo Maresca aliyetupiwa virago wiki iliyopita. Rosenior (41) raia wa England ambaye alikuwa kocha wa klabu ya Strasbourg inayomilikiwa na Kampuni ya BlueCo, ambayo pia inaimiliki Chelsea amesaini mkataba wa miaka sita na nusu utakaombakisha klabuni hapo…

Read More

Kitawaka AFCON leo Tandika Jamvi Lako la Ushindi Hapa, Algeria vs DR Congo, Ivory Coast Yakutana na Burkina Faso

Michuano ya AFCON barani Afrika inaendelea lakini pia kuna mechi nyingine nyingi zinaendelea. Ingia kwenye akaunti yako na uanze kusaka nafasi ya ushindi na Meridianbet sasa. Kule Italia, SERIE A pia kuna mechi za pesa ambapo Pisa atakipiga dhidi ya Como 1907 ambao wamekuwa na mwenendo mzuri kabisa msimu huu. Mwenyeji yeye mpaka sasa anashika…

Read More

Meridianbet Yaipandisha Thamani Aviator Kwa Kutoa Samsung A26

Meridianbet inaendelea kuimarisha nafasi yake kama chapa inayoelewa mahitaji ya wateja wake kwa kuanzisha kampeni bunifu zinazounganisha burudani na zawadi zenye thamani. Katika mwanzo wa mwaka 2026, kampuni hiyo imechagua kuwekeza zaidi kwenye uzoefu wa mtumiaji kwa kuleta kampeni maalum inayolenga kuongeza msisimko ndani ya jukwaa lake. Mchezo wa Aviator, ambao tayari una umaarufu mkubwa…

Read More