Ratiba ya 16 bora AFCON 2025

16 bora AFCON 2025 nchini Morocco ratiba hii hapa

Jumamosi, Januri 3,2026

Senegal vs Sudan saa 1:00 usiku
Mali vs Tunisia saa 4:00 usiku

Jumapili, Januari 4,2026

Morocco vs Tanzania saa 1:00 usiku
Afrika Kusini vs Cameroon saa 4:00 usiku

Jumatatu, Januari 5,2026
Misri vs Benin saa 1:00 usiku
Nigeria vs Msumbiji, saa 4:00 usiku

Jumanne, Januari 6, 2026
Algeria vs Dr Congo saa 1:00 usiku
Ivory Coast vs Burkina Faso, saa 4:00 usiku.

***

Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo na Moyo Wangu Unavuja Damu.  Kuvipata TUNAOMBA ODA 0756 028 371.

Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo ni simulizi inayozungumzia maisha ya Kiafrika, usaliti, visa, furaha. Wakazi wa Njombe kitabu kinapatikana Mtaa wa Mpechi kwa Chris Jabari, Kigamboni kwa Tupokigwe, Posta karibu na Mnara wa Askari ukiwa unaelekea chuo cha IFM. Kuna kazi mpya inaandaliwa inaitwa Msichana wa Maisha Yangu, jiandae kuipata.