PIGA MKWANJA KUPITIA UEFA CHAMPIONS LEAGUE NA EPL LEO

Ligi ya mabingwa barani ulaya kama kawaida imekua ni michezo ya neema kwa wapenzi wa ubashiri, Kwani watu wamekua wakinyakua mikwanja ya kutosha kupitia michezo hii lakini utapigwa mchezo mmoja mkali wa ligi kuu ya Uingereza leo. Michezo ambayo inakwenda kuchezwa leo ina asilimia kubwa kukuacha milionea kwani michezo ya ligi ya mabingwa barani ulaya…

Read More

SIMBA KWENYE KIBARUA MBELE YA NAMUNGO

CHINI ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids kikosi cha Simba leo kinatarajiwa kuwa kwenye kibarua kizito mbele ya Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Majaliwa. Ni mchezo wa mzunguko wa pili kwa wababe hawa kukutana uwanjani katika msako wa pointi tatu ambapo ule wa kwanza uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex…

Read More

SIMBA INA MUDA WA KUPOTEZA NDANI YA 18

WAKATI watani zao wa jadi Yanga wakiwa hawana muda wakupoteza ndani ya 18, mastaa wa Simba huwa wanapata kigugumizi wakiwa ndani ya 18 kwenye kumalizia nafasi ambazo wanazipata kujaza ndani ya nyavu. Rekodi zinaonyesha kuwa timu namba moja kwa kufunga mabao mengi ndani ya 18 ni Yanga ikiwa inaongoza pia Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo…

Read More

YANGA YAMALIZANA NA SINGINDA BLACK STARS

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Clement Mzize amechaguliwa kuwa mchezaji bora katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Singida Black Stars uliochezwa Uwanja wa KMC, Complex. Ubao umesoma Yanga 2-1 Singida Black Stars kwa mabao ya Mzize dakika ya 14 alifikisha mabao 10 akiwa kinara katika chati ya utupiaji Bongo. Bao la pili ni mali ya…

Read More

HII HAPA RATIBA YA LIGI NAMBA NNE KWA UBORA

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Yanga watakuwa kazini kwenye msako wa pointi tatu dhidi ya Singida Black Stars, Uwanja wa KMC Complex kwenye msako wa pointi tatu. Timu zote mbili zimeweka wazi kwamba hesabu kubwa ni kupata pointi tatu, ukiweka kando mchezo huo kuna mchezo mwingine utakaowakutanisha wababe…

Read More

YANGA YAIPIGIA HESABU SINGIDA BLACK STARS

VINARA wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni ligi namba nne kwa ubora Afrika ikiwa inadhaminiwa na NBC, Yanga wameweka wazi kuwa wanahitaji pointi tatu mbele ya Singida Black Stars. Huu ni mchezo wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC, Complex jioni saa 10:00 ikiwa ni mzunguko wa pili ndani ya 2024/25. Yanga baada ya…

Read More

KIUNGO WA KAZI AREJEA SIMBA

BAADA ya kukoseka kwenye mechi mbili za Ligi Kuu Bara kiungo mkandaji wa Simba amerejea katika uwanja wa mazoezi ikiwa tayari kwa mechi zijazo ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Kibu Dennis maarufu kwa jina la Mkandaji alipata maumivu kwenye mchezo wa ligi dhidi ya Tabora United ambapo baada ya dakika…

Read More

Suka Jamvi na BET BUILDER Ndani ya Meridianbet

Kampuni kubwa ya ubashiri Meridianbet imekuletea chaguo linaloitwa BET BUILDER ambapo hapa unaweza kuchagua machaguo mengi kwenye timu moja mfano. JKT vs Yanga unaweza ukampa Yanga ashinde, mechi itoe magoli 3, mgeni ashinde vipindi vyote nakadhalika. Maana ya  BET BUILDER ni, BET BUILDER ni huduma inayotolewa na Meridianbet kwenye kubashiri ambayo hii inakupa nafasi ya…

Read More

KMC YAPOTEZA MBELE YA YANGA YAPIGWA 6-1

KLABU ya KMC imepoteza mchezo wake wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga kwenye mchezo uliochezwa Uwanja wa KMC Complex baada ya dakika 90 wamepoteza kwa kushuhudia ubao ukisoma KMC 1-6 Yanga. Kiungo mshambuliaji Aziz Ki ambaye ametupia mabao matatu ilikuwa dakika ya 18 kwa mkwaju wa penalti, dakika ya 49 na dakika ya 56…

Read More

ALI KAMWE APELEKWA KAMATI YA MAADILI

 ALI Kamwe ambaye Ofisa Habari wa Yanga amepelekwa Kamati ya Maadili ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini, (TFF) na Ofisa Habari wa Kagera Sugar, Hamis Masanzala. Taarifa iliyotolewa na Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania, (TPLB), imeeleza kuwa katika kikoa cha Februari 12 2025 walipitia mwenendo wa…

Read More