FIFA Yatoa Bilioni 25 kwa Kila Timu Ili Kufidia Gharama za Maandalizi na Hatua ya Makundi
Taarifa njema kwa timu zote 48 zilizofuzu kucheza Kombe la Dunia 2026: kila timu itapokea dola za Marekani milioni 1.5 (takriban Tsh bilioni 3) kufidia gharama za maandalizi yao kabla ya mashindano. Aidha, kila timu itapokea gawio la dola milioni 9 (takriban Tsh bilioni 22) ikiwa itashiriki hatua ya makundi. Hivyo, jumla ya fedha ambazo…