Furahia sikukuu Na Holiday Drops 2025 Kutoka Meridianbet

Jambo kubwa limeletwa kwako mbashiri na meridianbet msimu huu wa sikukuu za kumaliza mwaka. Usikubali kusherehekea sikukuu kinyonge kabisa wakati Meridianbet ipo kwa ajili yako. Meridianbet wameamua kuigeuza michezo kuwa uwanja wa ushindi wa papo kwa papo kupitia Holiday Drops – Christmas Edition. Kuanzia 01.12.2025 hadi 08.01.2026, kila mchezaji anashiriki michezo maalumu ya kasino mtandaoni…

Read More

Yanga SC kwenye mapumziko, kurudi kambini Desemba 15

UONGOZI wa Yanga SC umebainisha kuwa wachezaji wa timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Pedro Goncalves kwa sasa wapo mapumziko. Ali Kamwe, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC amebainisha kuwa maamuzi hayo yametoka kwenye benchi la ufundi hivyo wachezaji watakuwa kwenye familia zao na wengine watakuwa kwenye majukumu ya timu za taifa….

Read More