Novemba 30,2025
St Eloi Lupopo 1-1 Al Hilal Omdurman
Magoli yamefungwa na Henock Molia dakika ya 79 Kea St Eloi Lupopo na dakika ya 12 kwa Al Hilal Omdurman kupitia Abdelrazing Abderraouf Omer.
Stade Malien 2-1 Simba SC
Magoli yamefungwa na Taddeus Nkeng dakika ya 16 na Ismaila Simpara dakika ya 23 kwa Stade Malien huku Neo Maema alifunga dakika ya 54 kwa Simba SC.
Kiungo Alassane Kante alionyeshwa kadi nyekundu dakika ya 82 kwa kucheza faulo mbaya kwa mpinzani wa Stade Malien.
Novemba 29,2025
Petro de Luanda 1-1 Esperance ST
Magoli yakifungwa na Tiago Reis dakika ya 49 kwa Petro de Luanda na Abounacar Diakite dakika ya 89 kwa Esperance ST.
Power Dynamo 0-1 Pyramids
Goli la Pyramids likifungwa na Mohamed Reda dakika ya 51.
Novemba 28,2025
JS Kabylie 0-0 Yanga SC
Rivers United 1-2 RS Berkane
Magoli yakifungwa na Mamadou Lamine Camara dakika ya 37 kwa Rivers United huku Mounir Chouiar akifunga dakika ya 90+9 na lile la usawa dakika ya 90+7 na Youness El Kaabi.
AS Far Rabat 1-1 Al Ahly
Magoli yakifungwa na Mouhcine Bouriga dakika ya 37 kwa mkwaju wa penalti kwa AS Far Rabat na Mahmoud Trezeguet dakika ya 68 kwa Al Ahly.
MC Alger 0-0 Mamelodi Sundowns
***
Imeandikwa na Lunyamadzo Mlyuka, Mtunzi kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo na Moyo Wangu Unavuja Damu. Kuvipata TUNAOMBA ODA 0756 028 371.
Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo ni simulizi inayozungumzia maisha ya Kiafrika, usaliti, visa, furaha. Wakazi wa Njombe kitabu kinapatikana Mtaa wa Mpechi kwa Chris Jabari, Kigamboni kwa Tupokigwe, Posta karibu na Mnara wa Askari ukiwa unaelekea chuo cha IFM. Kuna kazi mpya inaandaliwa inaitwa Msichana wa Maisha Yangu, jiandae kuipata.