Orodha ya wachezaji wa Yanga SC waliosafari na timu kuelekea Algeria
Orodha ya wachezaji wa Yanga SC ambao wapo kwenye msafara ulioelekea Algeria kwa kupitia Dubai. Yanga SC kituo kinachofuata ni dhidi ya JS Kabylie Novemba 28, 2025… Makipa Djigui Diarra, Aboutwalib Mshery na Khomeiny Mabeki Bakari Mwamnyeto, Dickson Job, Ibrahim Bacca, Assinki, Zimbwe Jr, Israel Mwenda na Boka. Viungo Mudathir Yahya, Duke Abuya, Maxi Nzengeli,…