Aziz Andambwile kwenye maisha mapya Yanga SC

KIUNGO Aziz Andambwile kwa sasa yupo katika maisha mapya ndani ya kikosi cha Yanga SC baada ya kupoteza namba kikosi cha kwanza. Aziz zama za Romain Folz alikuwa akianza kikosi cha kwanza mara baada ya kocha huyo kufutwa kazi Oktoba 18,2025 nchini Malawi hajawa chaguo la kwanza kwa Kocha Mkuu, Pedro Goncalves ambaye yupo Jangwani…

Read More

Jonathan Sowah bao lake lazua utata Bongo, Nangu atajwa

JONATHAN Sowah mshambuliaji wa Simba SC bao lake alilofunga kwenye mchezo dhidi ya JKT Tanzania limezua utata huku ikielezwa kuwa alikuwa kwenye mtego wa kuotea. Sowah alifunga bao hilo Novemba 8,2025 Uwanja wa Meja Isahmuyo wakati ubao uliposoma JKT Tanzania 1-2 Simba SC. Mabao matatu yalipatikana kwenye mchezo huo uliokuwa na ushindani, Edward Songo alianza…

Read More

Yanga SC 4-1 KMC FC ilikuwa kazikazi

Yanga SC 4-1 KMC FC ilikuwa kazi nzito kwa wababe wawili uwanjani Novemba 9,2025 kusaka pointi tatu ambapo dakika 45 za mwanzo mzani ulikuwa kwenye usawa. Ni Maxi Nzengeli alifungua ukura wa mabao alipopachika bao la kuongoza dakika ya 36 likawekwa usawa na mshambuliaji wa KMC FC, Daruesh Saliboko dakika ya 42. Kipindi cha pili,…

Read More