Ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara Novemba 8,2025

LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea ikiwa leo Novemba 8,2025 Jumamosi ya kazikazi kwa wababe kushuka uwanjani kusaka ushindi. Kutakuwa na mechi kubwa mbili katika viwanja tofauti ni Dar na Mwanza ambao watakuwa wanashuhudia mechi za ushindani. Saa 10:00 jioni Pamba Jiji vs Singida Black Stars, itachezwa Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Kwenye msimamo wa ligi,…

Read More