Paisha Helikopta Ya Super Heli Uondoke na Samsung A26
Meridianbet, jukwaa linaloongoza kwa michezo ya kubashiri na kasino mtandaoni nchini Tanzania, limezindua promosheni mpya ya kusisimua kupitia mchezo wa Super Heli, ambapo wachezaji wanapata nafasi ya kipekee ya kujishindia simu nne mpya za kisasa za Samsung A26. Hii ni ofa ya aina yake ikiwapa wachezaji msisimko wa kipekee kila wanapocheza. Katika mchezo wa Super…