Gamondi Atangaza Kikosi cha Taifa Stars Kwaajili ya Mechi Dhidi ya Kuwait
Kaimu Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Miguel Gamondi, ametangaza kikosi kitakachoingia kambini kuanzia Oktoba 10, kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa kirafiki wa kalenda ya FIFA dhidi ya Kuwait. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), mchezo huo wa kirafiki utafanyika Oktoba 14, katika mji…