Skip to content
Sunday, June 14, 2026
  • Brazil na Morocco Kukutana Katika Mchezo wa Kusisimua wa Kundi C
  • Marekani Yafungua Kombe la Dunia Nyumbani Kwa Kishindo, Yaichapa Paraguay 4-1
  • Meridianbet Yatoa TZS Milioni 100 Kwa Mashabiki wa Kombe la Dunia
  • Canada Yaanza Kombe la Dunia kwa Sare ya Kusisimua dhidi ya Bosnia

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Brazil na Morocco Kukutana Katika Mchezo wa Kusisimua wa Kundi C
  • Marekani Yafungua Kombe la Dunia Nyumbani Kwa Kishindo, Yaichapa Paraguay 4-1
  • Meridianbet Yatoa TZS Milioni 100 Kwa Mashabiki wa Kombe la Dunia
  • Canada Yaanza Kombe la Dunia kwa Sare ya Kusisimua dhidi ya Bosnia

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2025
  • October
  • 21

October 21, 2025

  • Sports

Vita ya Mabingwa Imerudi Tena, Unangoja Nini Saka Pesa na Meridianbet

Saleh8 months ago02 mins

Ndugu mteja wa Mteja wa Meridianbet unajua kuwa unaweza ukatengeneza pesa zako leo hii na Meridianbet kwenye mitanange ya UEFA inayoendelea kwenye mechi za raundi ya 3?. Weka dau lako la ushindi na ufurahie ushindi sasa. Napoli wao watasafiri kukiwasha dhidi ya PSV ambao walitoa sare mechi yao iliyopita wakiwa nyumbani. Tofauti ya pointi kati…

Read More
  • Sports

Jurgen Klopp afichua sababu za kukataa kuifundisha Manchester United

Saleh8 months ago01 mins

Aliyekuwa kocha wa zamani wa Liverpool, Jurgen Klopp, amefichua sababu zilizomfanya kukataa ofa ya kujiunga na Manchester United kabla ya kuchukua mikoba ya Liverpool mwaka 2015. Akizungumza katika mahojiano maalum, Klopp alisema hakuvutiwa na mpangilio na maono ya muda mrefu ya United wakati huo, akieleza kuwa hakuhisi uwepo wa dira thabiti ya maendeleo ndani ya…

Read More
  • International
  • Sports

Morocco yaandika historia, yashinda Kombe la Dunia la Vijana kwa mara ya kwanza

Saleh8 months ago01 mins

MARRAKECH, Morocco — Timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20 ya Morocco imeandika historia baada ya kutwaa taji la Kombe la Dunia la Vijana (FIFA U-20 World Cup) kwa mara ya kwanza, ikipata ushindi wa mabao 2–0 dhidi ya Argentina katika mchezo wa fainali uliopigwa Jumapili. Shujaa wa pambano hilo alikuwa…

Read More
  • Sports

Meridianbet Yakuletea Trick or Treat Bonanza Iliyosheheni Ushindi

Saleh8 months ago8 months ago02 mins

Wapenzi wa michezo ya kasino, Meridianbet imekuandalia zawadi ya kipekee isiyopitwa na wakati msimu huu wa Halloween. Ni Trick or Treat Bonanza. Huu ni mlango wa kuingia katika ulimwengu wa vishawishi vya kutisha, pipi za maajabu, na ushindi unaotisha kwa ukubwa wake. Jiandae kwa safari ya kusisimua inayochanganya burudani ya kipekee na nafasi halisi ya…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2026. Powered By BlazeThemes.