Skip to content
October 13, 2025
  • JKT Queens watwaa taji kwa kuifunga Simba Queens fainali
  • Nsingizini Hotspurs wapinzani wa Simba SC CAF kwenye hesabu ndefu
  • Diamond Platnumz – Nani (Official Music Video)
  • Michuano ya Kufuzu Kombe la Dunia Afrika Yazidi Kupamba Moto!

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2025
  • October
  • 13

October 13, 2025

  • Sports

JKT Queens watwaa taji kwa kuifunga Simba Queens fainali

Saleh38 minutes ago02 mins

JKT Queens ni washindi wa Ngao ya Jamii Wanawake 2025 wakiitwaa mbele ya Simba Queens katika mchezo wa fainali uliochezwa Uwanja wa KMC Complex, Oktoba 12 2025. Baada ya dakika 90 ubao ulisoma JKT Queens 2-1 Simba Queens ambapo dakika 45 za mwanzo mapema JKT Queens walipata goli la kuongoza. Watupiaji ni Winfrida Gerald dakika…

Read More
  • Sports

Nsingizini Hotspurs wapinzani wa Simba SC CAF kwenye hesabu ndefu

Saleh47 minutes ago03 mins

MABINGWA wa Ligi Kuu ya Eswatini 2024/25 Nsingizini Hotspurs chini ya Kocha Mkuu, Mandla Qhogi wanatarajiwa kukutana na Simba SC, Oktoba 19 2025. Huu utakuwa mchezo wa raundi ya pili unatarajiwa kuchezwa katika Uwanja wa taifa wa Somhlolo. Timu hiyo ilipenya hatua hiyo kwa kuwafungashia virago Simba Bhora katika hatua ya awali. Ni kwa jumla…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2025. Powered By BlazeThemes.