YANGA SC hesabu zao kimataifa

ALI Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga SC ameweka wazi kuwa mpango mkubwa ni kuona wanapata matokeo mazuri kwenye mechi zao mbili za kimataifa Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Romain Folz kwa sasa ipo kwenye maandalizi kuelekea kwenye mchezo ujao wa hatua ya pili Ligi ya Mabingwa Afrika. Itakuwa dhidi ya…

Read More