Fountain Gate waja na Tumejipata, Tunaanza na Mungu

FOUNTAIN Gate inayotumia Uwanja wa Tanzanite Kwaraa kwa mechi za nyumbani inakuja na tamasha kubwa ambalo linatarajiwa kufanyika Oktoba 12 2025 ikiwa ni utambulisho kwa benchi la ufundi na wachezaji. Ikumbukwe kwamba tayari Fountain Gate imezindua uzi mpya kwa msimu wa 2025/26 Oktoba 10 2025 katika mechi za mwanzo za ligi ilianza kwa kupoteza dhidi…

Read More

Kampeni ya Simba SC tokomeza jezi feki yaendelea

KAMPENI ya Simba SC ambayo ina lengo la kutokomeza jezi feki inaendelea ambapo Wananchi wamezidi kupewa elimu kuhusu faida za kununua jezi Original. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC ameweka wazi kuwa kununua jezi Original ni jambo ambalo kila Mtanzania anapaswa kujivunia. Oktoba 9 uongozi wa Simba SC uliweka kambi…

Read More

Jumamosi ya Moto Ulaya! Vigogo wa Soka Warudi Uwanjani Kufukuzia Kombe la Dunia 2026

Ni Jumamosi ya kishua kwa wapenzi wa soka duniani kote. Viwanja mbalimbali barani Ulaya vinawaka moto huku vigogo kama Ureno, Uhispania, Italia, Hungary, Norway na Serbia wakirudi kazini kuwania tiketi ya kufuzu Kombe la Dunia 2026. Na kama kawaida, Meridianbet ndiyo sehemu ya kushika mpunga wako wa maana kupitia ODDS za kifahari zilizowekwa leo. Bulgaria…

Read More