Live: Yanga SC 2-0 Wiliete SC, Ligi ya Mabingwa Afrika
Kipindi cha pili FT: Yanga SC 2-0 Wiliete Yanga SC imeshinda mabao 2-0 dhidi ya Wiliete, mabao ya Pacome Zouzoua na Aziz Andambilwe. Wanasonga mbele hatua ya pili kwa jumla ya mabao 5-0. Goooooal Dakika ya 85 goal Aziz Andambilwe Dakika ya 85 Chikola anapiga kona Dakika ya 85 Pacome anatoka anaingia Offen Chikola Dakika…