
Hat-trick ya Mayele Yaandika Historia Pyramids Kombe la Mabara
Mshambuliaji wa zamani wa Young Africans SC, Fiston Kalala Mayele, ameendelea kuonyesha makali yake barani Afrika na duniani baada ya kufunga mabao matatu (hat-trick) yaliyoipeleka Pyramids FC ya Misri hatua inayofuata ya michuano ya Kombe la Mabara la FIFA. Pyramids FC imeiondoa Al Ahli Saudi ya Saudi Arabia kwa jumla ya mabao 3–1, licha ya…