Skip to content
September 24, 2025
  • Hat-trick ya Mayele Yaandika Historia Pyramids Kombe la Mabara
  • Sakata la Pamba Jiji Kufanya Mazoezi Gizani: Serikali Yatoa Kauli Rasmi
  • Dar es Salaam Yasherehekea Ushindi wa Sajenti Simbu wa Marathon
  • Ballon d’Or 2025: Dembélé Awashinda Lamine Yamal na Mohamed Salah

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2025
  • September
  • 24

September 24, 2025

  • International
  • Sports

Hat-trick ya Mayele Yaandika Historia Pyramids Kombe la Mabara

Saleh32 minutes ago31 minutes ago02 mins

Mshambuliaji wa zamani wa Young Africans SC, Fiston Kalala Mayele, ameendelea kuonyesha makali yake barani Afrika na duniani baada ya kufunga mabao matatu (hat-trick) yaliyoipeleka Pyramids FC ya Misri hatua inayofuata ya michuano ya Kombe la Mabara la FIFA. Pyramids FC imeiondoa Al Ahli Saudi ya Saudi Arabia kwa jumla ya mabao 3–1, licha ya…

Read More
  • Sports

Sakata la Pamba Jiji Kufanya Mazoezi Gizani: Serikali Yatoa Kauli Rasmi

Saleh1 hour ago01 mins

Baada ya taarifa kusambaa mitandaoni ikionesha wachezaji wa Pamba Jiji wakifanya mazoezi gizani katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Serikali imesema timu hiyo ilifika uwanjani hapo pasipo kutoa taarifa rasmi ya kufanya mazoezi ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga SC Septemba 24, 2025. Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imeeleza kuwa wakati timu hiyo…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2025. Powered By BlazeThemes.