Oscar Mirambo Ateuliwa Kaimu Katibu Mkuu wa TFF

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemteua Oscar Mirambo kuwa Kaimu Katibu Mkuu wa shirikisho hilo kuanzia Oktoba 1, 2025. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na Ofisa Habari na Mawasiliano wa TFF, Cliford Mario Ndimbo, uteuzi huo unakuja kufuatia kumalizika kwa mkataba wa aliyekuwa Katibu Mkuu, Kidao Wilfred, ambao unahitimishwa tarehe 30 Septemba…

Read More

Kikwete Akutana na Bill Gates Katika Hafla ya Goalkeepers New York

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ameungana na mfadhili maarufu duniani, Bill Gates, katika hafla ya Goalkeepers iliyofanyika usiku kuamkia leo jijini New York, Marekani. Hafla hiyo, iliyoandaliwa na Taasisi ya Bill & Melinda Gates Foundation, ilikusanya viongozi, wadau wa maendeleo na watu mashuhuri kutoka pande mbalimbali za dunia,…

Read More

Dkt. Samia Ahidi Mradi wa Umeme na Barabara Kuboresha Maisha ya Wananchi Masasi

Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza mpango wa kujengwa kwa njia ya kusafirisha umeme kutoka Ruvuma–Tunduru hadi Masasi mkoani Mtwara, ili kuongeza uhakika wa upatikanaji wa nishati hiyo katika mkoa huo. Akihutubia maelfu ya wananchi waliojitokeza katika mkutano wa kampeni uliofanyika viwanja…

Read More

Meridianbet Yazindua Mchezo Mpya wa Kusisimua – Meridian Bonanza

Meridianbet imeleta mapinduzi makubwa kupitia mchezo mpya wa slot Meridian Bonanza. Huu ni mchezo ulioundwa kwa ajili ya wapenzi wa kasino wanaopenda burudani ya kipekee na nafasi kubwa ya kupata ushindi. Namna mchezo unavyofanya kazi: Kila spin inachezwa kwenye mfumo wa reels 6×5, ambapo alama zinazofanana zinapojipanga zinafungua ushindi. Mfumo wa Tumble Feature unaruhusu alama mpya kuingia baada…

Read More