Skip to content
September 23, 2025
  • Ballon d’Or 2025: Dembélé Awashinda Lamine Yamal na Mohamed Salah
  • Simba Yamtangaza Rasmi Hemed ‘Morocco’ Kama Kocha Mkuu wa Muda
  • Kocha Fadlu Davids Aaga Simba kwa Machozi ya Furaha na Shukrani
  • Fadlu Davids Amalizana na Raja Casablanca, Safari Mpya Yaaanza

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2025
  • September
  • 23

September 23, 2025

  • International
  • Sports

Ballon d’Or 2025: Dembélé Awashinda Lamine Yamal na Mohamed Salah

Saleh10 minutes ago01 mins

Staa wa Timu ya Taifa ya Ufaransa na Klabu ya Paris Saint-Germain (PSG), Ousmane Dembélé, ameshinda Tuzo ya Ballon d’Or ya 2025, akiwashinda wachezaji maarufu kama Lamine Yamal wa Barcelona na Mohamed Salah wa Liverpool. Katika msimu wa 2024/25, Dembélé alifunga mabao 37 na kutoa pasi za mwisho 15, akisaidia PSG kutwaa mataji manne muhimu:…

Read More
  • International
  • Sports

Simba Yamtangaza Rasmi Hemed ‘Morocco’ Kama Kocha Mkuu wa Muda

Saleh16 minutes ago14 minutes ago01 mins

Klabu ya Simba SC imefanya uteuzi rasmi wa kocha Hemed Suleiman ‘Morocco’ kuwa kocha mkuu wa muda wa timu hiyo. Hemed Morocco, ambaye pia ni kocha wa timu ya taifa ya Tanzania, atachukua jukumu hili hadi klabu itakapompata kocha mpya wa kudumu. Uteuzi huu unalenga kuimarisha maandalizi ya timu katika michuano ya Ligi ya Mabingwa…

Read More
  • International
  • Sports

Kocha Fadlu Davids Aaga Simba kwa Machozi ya Furaha na Shukrani

Saleh22 minutes ago02 mins

Kocha wa Simba SC, Fadlu Davids, ameaga rasmi klabu hiyo akieleza hisia zake nzito baada ya muda wake kumalizika Msimbazi. Katika ujumbe wake wa kuaga, Davids amesema tangu siku ya kwanza alipojiunga na Simba alihisi mapenzi makubwa ya klabu hiyo na mashabiki wake, ambao amewataja kama nguzo kubwa ya mafanikio ya timu. “Kuanzia nilipofika, nilihisi…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2025. Powered By BlazeThemes.