ALI KAMWE AMETOA AHADI HII YANGA DAY

MENEJA wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC, Ali Kamwe ameahidi kuishitua Dunia Keshokutwa katika kilele cha Wiki ya Mwananchi itakayofanyika kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar. Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Romain Folz ambaye ni mrithi wa mikoba ya Miloud Hamdi aliyekiongoza kikosi hicho kutwaa taji la ubingwa msimu wa 2024/25. Ni Wiki ya…

Read More

SIMBA DAY NI BALAA ZITO KWA MKAPA

Simba Day ni tamasha maalumu kwa ajili ya utambulisho wa wachezaji na benchi la ufundi. Katika tamasha hilo kutakuwa na mchezo wa kimataifa wa kirafiki. Simba SC vs Gor Mahia watakutana uwanjani. Mashabiki wamejitokeza kwa wingi katika tamasha hili maalumu ambalo linakutanisha wadau wa michezo Tanzania. Mashabiki wamenunua tiketi kwa wingi mara baada ya siku…

Read More