CONTE AMETUA RASMI JANGWANI: YANGA SC YAMNASA KIUNGO WA CS SFAXIEN
Rasmi Kiungo wa CS Sfaxien ya Tunisia, Moussa Balla Conte (21) amesaini mkataba na Yanga Sc.
Rasmi Kiungo wa CS Sfaxien ya Tunisia, Moussa Balla Conte (21) amesaini mkataba na Yanga Sc.
Yanga SC imekamilisha usajili wa kiungo wa CS Sfaxien ya Tunisia Balla Conte akiwa ni mchezaji wa kwanza kutambulishwa na mabingwa hao watetezi. Conte rasmi ni njano na kijani baada ya kutambulishwa na Yanga SC, Julai 18 2025 tayari kwa maandalizi ya msimu wa 2025/26. Ikumbukwe kwamba nyota huyo alikuwa anatajwa kuwa katika rada za…
Nyota wa zamani wa Klabu ya Young Africans (Yanga SC), Fiston Mayele, amebadili dini kutoka Ukristo na sasa ni Muislamu, ambapo atatumia jina jipya la kiislamu “Mahmoud”. Mayele kwa sasa anakipiga katika klabu ya Pyramids FC ya Ligi Kuu nchini Misri, ambako ameendelea kuonyesha makali yake tangu ajiunge akitokea Yanga SC. Uamuzi wake wa kubadili…
Mabingwa wa Ligi Kuu Uganda, Vipers Sc wamethibitisha kumsajili winga, Mnigeria Odili Chukwuma kwa mkataba wa miaka miwili utakaombakisha klabuni hapo mwisho wa msimu wa 2026/27. Chukwuma (23) raia wa Nigeria anajiunga na Mabingwa hao mara 7 wa Ligi Kuu Uganda kutoka klabu ya Police Fc ya Rwanda. Msimu uliopita Chukwuma alifunga magoli matano na…
KUELEKEA msimu mpya wa 2025/26, Simba SC wamebainisha kuwa watafanya usajili mkubwa kupata timu imara ya ushindani kitaifa na kimataifa. Ipo wazi kuwa Aishi Manula ambaye ni kipa huyu atakuwa ndani ya Azam FC, Omary Omary amepelekwa kwa mkopo Mashujaa FC, Fabrince Ngoma mkataba wake umeisha, Kelvin Kijili atakuwa ndani ya Singida Black Stars ni…
Nilikuwa nimezoea kuona matangazo mengi ya promosheni mitandaoni. Kwa kweli, sikuwahi kuyachukulia kwa uzito. Lakini mwezi huu wa Julai, kitu kimoja kimenivutia, Meridianbet wametangaza zawadi ya simu mpya aina ya Samsung A25 kwa wateja wanaojiunga na kucheza michezo yao. Hapo ndipo nilipoamua kusema, “Kwanini nisijaribu?” Safari yangu imeanza kwa kusajili akaunti yangu kupitia app ya…