FOUNTAIN GATE VS AZAM FC PATACHIMBIKA

Mchezo wa Fountain Gate vs Azam FC, Uwanja wa Tanzanite, Kwaraa Juni 22 2025 patachimbika uwanjani kwa wababe hao kuvuja jasho kusaka ushindi ndani ya dakika 90. Fountain Gate hesabu kubwa ni kujinasua kutoka mstari wa kucheza play off huku Azam FC hesabu kubwa ikiwa ni kumaliza ndani ya tatu bora ikiwa na pointi nyingi….

Read More

CHEZA SUPER HELI USHINDE SAMSUNG A25 MPYA

Kampuni inayoaminika zaidi kwenye michezo ya kubashiri nchini Tanzania, Meridianbet, imeleta tena promosheni inayotikisa. Mwezi huu wa Juni, usikose kushiriki katika ofa kabambe iitwayo “Paa na Super Heli, Shinda Samsung A25”, promosheni maalum kwa wachezaji wa kasino mtandaoni, hasa mchezo wa Super Heli. Kupitia promosheni hii, unapata nafasi ya kushinda simu mpya aina ya Samsung…

Read More