KIPA CAMARA KUKUTANA NA THANK YOU SIMBA SC

MOUSA Camara kipa namba moja wa Simba SC anatajwa kuwa kwenye hesabu za kukutana na Thank You ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu,Fadlu Davids. Camara ni chaguo la kwanza ndani ya Simba SC ambayo ipo kwenye maandalizi kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KenGold unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi,…

Read More

MSHAMBULIAJI WA MABAO MLANGONI YANGA SC

JONATHAN Sowah mshambuliaji wa Singida Black Stars anatajwa kuwa kwenye mpango wa kutakiwa na Yanga SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi. Sowah alimpa tabu kipa namba moja wa Yanga SC, Djigui Diarra kwenye mchezo wa ligi walipokutana Uwanja wa KMC Complex kwa kumtungua bao moja. Kwenye mchezo huo baada ya dakika 90 ubao ulisoma…

Read More