Skip to content
June 11, 2025
  • SIMBA SC YATOA TAMKO KUHUSU MECHI YA KARIAKOO DABI JUNI 15
  • SAKATA LA MECHI YA YANGA NA SIMBA LATINGA BUNGENI, SERIKALI YATOA KAULI
  • YANGA YAIJIBU TFF, DAWA YA DENI NI KULIPA KWA WAKATI
  • TFF YATOA UFAFANUZI WA MADAI YA YANGA SC KUHUSU MALIPO YA ZAWADI YA UBINGWA WA KOMBE LA SHIRIKISHO

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2025
  • June
  • 11

June 11, 2025

  • Sports

SIMBA SC YATOA TAMKO KUHUSU MECHI YA KARIAKOO DABI JUNI 15

Saleh1 hour ago02 mins

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC ameweka wazi kuwa mchezo wa Kariakoo Dabi, Jumapili Juni 15 2025 upo palepale. Ipo wazi kwamba wenyeji wa mchezo huo ni Yanga SC ambao wameweka wazi kwamba hawatacheza mchezo huo mpaka matakwa yao manne yatakapotimizwa na watakuwa tayari kucheza mchezo wa Kariakoo Dabi tarehe…

Read More
  • Sports

SAKATA LA MECHI YA YANGA NA SIMBA LATINGA BUNGENI, SERIKALI YATOA KAULI

Saleh1 hour ago02 mins

Sakata la mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Yanga na Simba limechukua sura mpya, baada ya kutinga bungeni, huku serikali kuombwa itoe kauli kuhusu kinachoendelea. Suala hilo liliibuliwa asubuhi leo Juni 11, 2025 na Mbunge wa Makete, Festo Sanga kwenye swali lake la nyongeza kwa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, akiomba…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2025. Powered By BlazeThemes.