
SIMBA SC YATOA TAMKO KUHUSU MECHI YA KARIAKOO DABI JUNI 15
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC ameweka wazi kuwa mchezo wa Kariakoo Dabi, Jumapili Juni 15 2025 upo palepale. Ipo wazi kwamba wenyeji wa mchezo huo ni Yanga SC ambao wameweka wazi kwamba hawatacheza mchezo huo mpaka matakwa yao manne yatakapotimizwa na watakuwa tayari kucheza mchezo wa Kariakoo Dabi tarehe…