
CHE MALONE KAZI IPO SIMBA SC
BEKI wakupanda na kushuka ndani ya kikosi cha Simba SC, Che Malone kazi ipo kuelekea msimu wa 2025/26 ambapo anatajwa kuwa kwenye hesabu za kukutana na Thank You. Beki huyo ni chaguo la kwanza ndani ya kikosi cha Simba SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids hajawa kwenye mwendelezo mzuri kwenye mechi za ushindani za…