Skip to content
May 18, 2025
  • YANGA YATINGA FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO
  • PROFESA JANABI ASHINDA MKURUGENZI WA WHO KANDA YA AFRIKA
  • WAZIRI MKUU ARIDHISHWA NA MABORESHO YANAYOENDELEA KWA MKAPA
  • BUNDESLIGA NA LIGUE 1 KUMALIZA MSIMU KWA KISHINDO – BONYEZA HAPA KUPATA MKWANJA

Saleh Jembe

Official Website

Random News
  • Home
  • FeaturedFeatured posts
  • Sports
  • Home
  • 2025
  • May
  • 18

May 18, 2025

  • Sports

YANGA YATINGA FAINALI KOMBE LA SHIRIKISHO

Saleh30 minutes ago17 minutes ago01 mins

MABINGWA watetezi wa CRDB Federation Cup, Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Miloud Hamdi wamekata tiketi ya kutinga hatua ya fainali. Katika mchezo wa nusu fainali CRDB Federation Cup iliyochezwa Mei 18 2025 ubao umesoma 2-0 JKT Tanzania Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Mabao ya Prince Dube dakika ya 41 kwa makosa ya safu ya ulinzi…

Read More
  • Entertainment
  • International

PROFESA JANABI ASHINDA MKURUGENZI WA WHO KANDA YA AFRIKA

Saleh35 minutes ago01 mins

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Profesa Mohammed Janabi leo Mei 18, 2025 ameibuka kidedea katika uchaguzi wa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Kanda ya Afrika. Katika uchaguzi uliofanyika Geneva nchini Uswisi, Janabi alikuwa akichuana na wenzake wanne, Dk. N’da Konan Yao wa Ivory Coast, Dk Drame Lamine wa Guinea, Dk…

Read More
  • Sports

WAZIRI MKUU ARIDHISHWA NA MABORESHO YANAYOENDELEA KWA MKAPA

Saleh57 minutes ago02 mins

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa Mei 17, 2025 amekagua ukarabati wa uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam ikiwa ni muendelezo wa ziara zake za kukagua maboresho ya viwanja kwa ajili ya maandalizi ya mashindano ya AFCON na CHAN yanayotarajiwa kufanyika nchini hivi karibuni. Akiwa uwanjani hapo, Majaliwa ambaye aliambatana na Waziri wa Habari, Utamaduni,…

Read More
Newsmatic - News WordPress Theme 2025. Powered By BlazeThemes.