YANGA SC KUSHUSHA FULL MUZIKI FAINALI MUUNGANO CUP

YANGA SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi Mei Mosi 2025 inatarajiwa kuwa na kibarua kwenye mchezo wa fainali Muungano Cup dhidi ya JKU SC Uwanja wa Gombani, Pemba. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa saa 1:15 usiku ambapo Yanga SC imebainisha kuwa itaongeza uzito kwenye mchezo huo hasa katika eneo la wachezaji ambapo huenda wakashusha full…

Read More

SIMBA SC KWENYE KIBARUA DHIDI YA MASHUJAA

KIKOSI cha Simba SC kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids Mei 2 2025 kinatarajiwa kuwa kazini kwenye msako wa pointi tatu dhidi ya Mashujaa FC ambao nao wanazihitaji pointi hizo tatu muhimu. Mchezo huo ni kiporo ratiba yake imepangwa upya kwa kuwa Simba SC ilikuwa kwenye mechi za kimataifa kwenye Kombe la Shirikisho Afrika ikiwa…

Read More