SINGIDA BLACK STARS KUZINDUA UWANJA KUKIPIGA NA YANGA

Klabu ya Singida Black Stars itazindua uwanja wake mpya wa ’AIRTEL STADIUM’ Machi 24, 2025. Uwanja huo utazinduliwa kwa mechi ya kirafiki katibya Singida Black stars dhidi ya Yanga SC. Kwenye taarifa yao, Singida wamesema kuwa uwanja huo umejengwa kwa viwango vya kimataifa na unatarajiwa kuwa kitovu cha mashindano makubwa ya kitaifa na kimataifa. Je,…

Read More

HUSSNA AFICHUA MAZITO ALIYOKUTANA NAYO OMAN ALIPOISHI MIAKA 2 – AFIKA na WADADA WENGINE 6 AIRPORT…

Watanzania 7 waliokuwa wakifanya kazi za ndani nchini Oman wamerejea nchini ambapo @zali_mapito aliwapokea na kuzungumza nao kuhusu maisha waliyopitia wakiwa nchini Oman na sababu zilizowarejesha nchini. Miongoni mwao yupo mwanadada Husna, ambaye amefanya kazi Oman kwa miaka 2, akiwa tayari ameshapitia kwenye nyumba za mabosi wake watatu. Husna ameeleza yote kuhusu kubadilisha mabosi hao…

Read More

PATA MAMILIONI NA KASINO MTANDAONI

Historia ya Kasino inaonesha kwamba, watu wengi wanaocheza kasino hushinda kuliko kushindwa, Meridianbet Kasino ya Mtandaoni ni chimbo la utajiri na kukamilisha ndoto za mtu yeyote. Kutana na mchezo wa kasino unaitwa Vegas Mega Spin ni mchezo wa sloti wenye nguzo tano katika mistari mitatu na ina mistari 25 ya malipo iliyofungwa. Ili kupata ushindi…

Read More