Simba wametinga hatua ya 16 bora ya michuano ya kombe la Shirikisho la CRDB baada ya kuibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya TMA Stars ya Arusha katika dimba la KMC Complex.
FT: Simba Sc 3-0 TMA Stars
⚽ 16’ Nouma
⚽ 19’ Sabilo (og)
⚽ 75’ Ateba
Simba wametinga hatua ya 16 bora ya michuano ya kombe la Shirikisho la CRDB baada ya kuibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya TMA Stars ya Arusha katika dimba la KMC Complex.
FT: Simba Sc 3-0 TMA Stars
⚽ 16’ Nouma
⚽ 19’ Sabilo (og)
⚽ 75’ Ateba