SIMBA INA MUDA WA KUPOTEZA NDANI YA 18

WAKATI watani zao wa jadi Yanga wakiwa hawana muda wakupoteza ndani ya 18, mastaa wa Simba huwa wanapata kigugumizi wakiwa ndani ya 18 kwenye kumalizia nafasi ambazo wanazipata kujaza ndani ya nyavu. Rekodi zinaonyesha kuwa timu namba moja kwa kufunga mabao mengi ndani ya 18 ni Yanga ikiwa inaongoza pia Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo…

Read More