GOD IS GOD, YANGA YATEMBEZA 5 G

MUNGU ni mwema kila wakati ni ujumbe wa kiungo mshambuliaji wa Yanga Maxi Nzengeli ambaye alikuwa nje kwa muda kutokana na kutokuwa fiti na amerejea uwanjani Januari 25 2025 akitupia bao moja dhidi ya Copco FC raundi ya tatu CRDB Federation Cup. Baada ya dakika 90 Ubao wa Uwanja wa KMC, Complex umesoma Yanga 5-0…

Read More

SIMBA HESABU KUBWA KWA WAPINZANI WAO ZIPO HIVI

SELEMAN Matola, kocha msaidizi wa Simba amesema kuwa wanatambua umuhimu wa mchezo wao dhidi ya Kilimanjaro Wonders hivyo wataingia kwa tahahari lengo ikiwa ni kupata matokeo mazuri. Simba ikiwa imetoka kucheza mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Constantine, Uwanja wa Mkapa Januari 19 2025, itakuwa na kibarua kingine uwanjani kusaka ushindi Januari 26…

Read More

YANGA YAPIGA HESABU USHINDI WA KISHINDO NAMNA HII

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa hesabu kubwa ni kufanya vizuri kwenye mechi zilizopo mbele yao ikiwa ni pamoja na mchezo wa CRDB Federation Cup ambao dhidi ya Copco. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa KMC Complex Januari 25 2025  ikiwa ni mchezo wa mtoano na Yanga ni mabingwa watetezi wat aji hilo. Ali Kamwe,…

Read More

SIMBA TAMBO TUPU KISA MITAMBO HII YA MABAO

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa wachezaji wao wanatimiza majukumu kwa umakini jambo ambalo linaongeza hatari kwao wakiwa mbele kwa kufunga mabao mengi kwenye mechi za ushindani. Ipo wazi kwamba Leonel Ateba ni kiongozi kwenye safu ya ushambuliaji akiwa ametupia mabao matano na kinara wa kutengeneza pasi za mwisho ni kiungo mshambuliaji Jean Ahoua mwenye…

Read More