YANGA WATUPA DONGO KIMTINDO UNYAMANI ISHU YA KIMATAIFA

“Kuna timu ambayo ipo kwenye mashindano na ina pointi 9 inaweza isitinge hatua ya robo fainali,” moja ya kauli ya Ofisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe ikiwa ni kama dongo kimtindo kwa Simba amba oni watani zao wa jadi. Ikumbukwe kwamba Simba inapeperusha bendera ya Tanzania kwenye Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kucheza mechi…

Read More

MASHABIKI SIMBA WAPEWA KAZI NZITO KIMATAIFA

“Kwenye mechi zetu mbili tulizocheza Uwanja wa Mkapa mashabiki hawakujitokeza kwa wingi hivyo kuelekea mchezo wetu wa funga kazi dhidi ya Costantine wajitokeze kwa wingi na tunahitaji kuona Uwanja wa Mkapa unajaa.” Ni maneno ya Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba, Ahmed Ally ikiwa ni kazi maalumu kwa mashabiki wa timu hiyo inayopeperusha…

Read More