NUNO SANTOS JMEMDARI NDANI YA NOTTINGHAM FOREST

Kocha mkuu wa Nottingham Forest, Nuno Espirito Santo, ameleta mapinduzi makubwa kwenye klabu hiyo tangu alipojiunga na timu mwanzoni mwa msimu huu. Kwa ustadi wake na uzoefu wake wa kimataifa, Nuno ameweza kubadilisha mfumo wa timu, kuhakikisha inakuwa moja ya timu bora na zinazoshindana katika Premier League. Kwa kuingia kwa Nuno, Forest imeshuhudia mabadiliko makubwa…

Read More

WAKIMATAIFA YANGA TAYARI KUWAKABILI TP MAZEMBE

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa katika Ligi ya Mabingwa Afrika wameweka wazi kuwa hesabu kubwa ni kupata matokeo mbele ya TP Mazembe. Katika mchezo uliopita wa makundi wakiwa ugenini dhidi ya TP Mazembe, Yanga iliambulia pointi moja kwa sare ya kufungana bao 1-1 ikipata pointi kwa mara ya kwanza kwenye hatua za makundi…

Read More

SIMBA KAMILI KUWAVAA WAARABU KIMATAIFA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa Simba wameweka wazi kuwa wapo tayari kwa mchezo wao wa hatua ya makundi dhidi ya wapinzani wao SC Sfaxine utakaopigwa nchini Tunisia. Ipo wazi kwamba kwenye mchezo waliokutana Uwanja wa Mkapa baada ya dakika 90 Simba walishinda kwa mabao 2-1 na mtupiaji alikuwa mkandaji Kibu Dennis ambaye yupo…

Read More

ZAMU YA BRAZIL IMEFIKA

Zamu ya Brazil imefika ndivyo ambavyo unaweza kusema kwani kampuni ya Meridianbet ambayo inajihusisha na michezo ya ubashiri duniani ambayo ni sehemu ya Golden Matrix Group (NASDAQ: GMGI) wamefanikiwa kufungua tawi jipya nchini Brazil ambapo watakua wakiendesha shughuli zao za michezo hiyo kama wanavyofanya sehemu nyingine. Ni furaha kubwa sana kwa mabingwa hao wakongwe wa…

Read More