🔴#BREAKING: KARIAKOO -GHOROFA LILILOANGUKA NA KUUA WATU TAZAMA KINACHOENDELEA MUDA HUU

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema zoezi la uokoaji kufuatia ajali ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa katika eneo la Soko la Kimataifa la Kariakoo linaendelea tangu kutokea kwa ajali hiyo na halikusitishwa kama baadhi ya taarifa zilivyoenea mitandaoni. Akizungumza akiwa Kariakoo Chalamila amesema kuna watu bado wapo chinii, hivyo waokoaji…

Read More

WAZIRI MKUU MAJALIWA AFIKA LILIPOPOROMOKA JENGO KARIAKOO – ATOA TAMKO la SERIKALI…

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Mambo ya Ndani kwa kushirikiana na Kamati za Ulinzi kuhakikisha manusura waliofukiwa na kifusi cha ghorofa lililoporomoka Wanaokolewa Aidha, Waziri Mkuu ameagiza Mitungi ya Hewa ya #Oxygen ipelekwe kwenye eneo hilo ili kuwasaidia manusura waliopo chini ambao bado hawajaokolewa wakati zoezi la uokozi likiendelea Hadi sasa watu kadhaa…

Read More

KULE TANZANIA HUKU ETHIOPIA NANI KUKUPATIA PESA LEO?

Timu ya Taifa ya Tanzania leo hii itakuwa ugenini kusaka ushindi kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kufuzu AFCON 2026, huku wewe ukiwa na nafasi ya kuondoka na mkwanja mrefu. Ethiopia itakuwa nyumbani dhidi ya  Tanzania majira ya saa moja usiku. Ikumbukwe kuwa Stars leo hii inahitaji ushindi wa hali na mali ili ijiweke kwenye nafasi…

Read More

TAIFA STARS KUSHUKA DIMBANI LEO DHIDI YA ETHIOPIA

TIMU ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ itashuka dimbani leo Novemba 16, 2024 kwenye mchezo wa kuwania kufuzu kombe la Mataifa Afrika AFCON 2025 dhidi ya Ethiopia katika uwanja wa Taifa wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, (Martyrs de la Pentecote) ikihitaji kufufua matumaini yake ya kukata tiketi ya AFCON 2025. Wenyeji, Ethiopia ambao wamechagua…

Read More

VAA TAJI NA USHINDE KITITA LEO

Kupitia mchezo wa 20 Imperial Crown unakuvalisha taji lakini haishii hapo kwani pia unaweza kujishindia kitita kikubwa kupitia mchezo huu wa kasino, Kwani mchezo huu umekua moja ya michezp pendwa ya kasino na watu wamekua wajishindia vitita vikubwa. 20 Imperial Crown Deluxe Sifa Zake 20 Imperial Crown Deluxe kasino mtandaoni wenye safu tano zilizopangwa katika…

Read More

SEAD RAMOVIC KOCHA MPYA YANGA

Klabu ya Yanga imemtangaza raia wa Ujerumani, Sead Ramović kuwa kocha mkuu wa timu hiyo baada ya kuondoka kwa aliyekuwa kocha kwa klabu hiyo, Miguel Gamondi. Ramovic alikuwa kocha mkuu wa klabu ya TS Galaxy ya Afrika Kusini kuanzia mwaka 2021 hadi mwaka 2024.

Read More

KING KIKII WA ‘KITAMBAA CHEUPE’ AFARIKI DUNIA

Mwanamuziki Mkongwe Boniface Kikumbi Mwanza Mpango ‘King Kikii’ amefariki dunia. Mwanamuziki huyo ambaye ameugua kwa muda mrefu, amefariki usiku wa kuamkia leo Novemba 15 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambako alikuwa akipatiwa matibabu King Kikii atakumbukwa kwa mchango wake mkubwa katika muziki wa dansi Tanzania. Kwa miaka mingi ameburudisha, amefundisha na kuelimisha jamii kupitia…

Read More

5 HOT STRIKE WASHINDI WANAPATIKANA HAPA

Mchezo wa Kasino unaobamba kwasasa mjini wa 5 Hot Strike umeendelea kua mchongo kwa wachezaji wa kasino, Kwani kadri siku zinavyoenda mbele ndivyo unaendelea kutoa mamilionea wapya. 5 Hot Strike ni mchezo wa sloti unaopatikana kasino ya mtandaoni ndani ya meridianbet, umetengenezwa na Fazi. Katika mchezo huu wa kasino, utafurahia alama za pori/Wild na alama…

Read More

KMC YAMTANGAZA KALI ONGALA KUWA MKUU MPYA

Klabu ya KMC FC, imemtangaza Kali Ongala kuwa Mkuu mpya wa timu hiyo, baada ya kuondoka kwa aliyekuwa kocha Mkuu, Abdihamid Moalin. Akiwa kama kocha, Kali amewahi kuifundisha klabu ya Azam FC, lakini pia akiwa kama mchezaji amewahi kuzichezea klabu kama Azam FC, Yanga SC, GIF Sundsvall na nyingine kadhaa. “Uamuzi wa kumchagua Kali Ongala…

Read More

SIMBA KWENYE REKODI YAKIMBIZA BONGO

KIKOSI cha Simba kinachonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi kimepeta kwenye rekodi ndani ya 2024/25 kutokana na kufanya vizuri kwa wachezaji baada ya mechi 10. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba ameweka wazi kuwa hayo yote yanatokana na uwekezaji ambao umefanywa kwa kuchukua wachezaji wenye ubora mkubwa. “Tuna wachezaji wenye namba…

Read More

ISHU YA GAMONDI NA THANK YOU UPEPO UPO HIVI

WAKATI kukiwa na fukuto kwamba huenda Miguel Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga atakutana na mkono wa Thank You, kocha huyo bado yupoyupo kwa kuwa ameanza kuwanoa wachezaji wa timu hiyo kuelekea mechi za Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga imetinga hatua ya makundi ambapo inatarajiwa kupeperusha bendera ya Tanzania kwenye anga hilo na itakuwa na kazi…

Read More