WAKALI WA KUCHEKA NA NYAVU HAWA HAPA
WAKALI wa kucheka na nyavu ndani ya Ligi Kuu Bara kinara ni Aziz KI wa Yanga mwenye mabao 14 anafuatiwa na Feisal Salum wa Azam FC mwenye mabao 13
WAKALI wa kucheka na nyavu ndani ya Ligi Kuu Bara kinara ni Aziz KI wa Yanga mwenye mabao 14 anafuatiwa na Feisal Salum wa Azam FC mwenye mabao 13
CRDB Bank Federation Cup kwa sasa ni hatua ya robo fainali ambapo kila timu imetambua ilipogotea baada ya dakika 90 kwenye msako wa ushindi katika hatua ya 16 bora. Mabingwa watetezi wa taji hilo ambao ni Yanga chini ya Kocha Mkuu Miguel Gamondi wamepenya katika hatua ya robo fainali walipata ushindi kwenye mchezo wao dhidi…
Borussia Dortmund imetinga nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kufuatia ushindi wa jumla wa 5-4 dhidi ya Atletico Madrid kwenye robo fainali. FT: Dortmund 🇩🇪 4-2 🇪🇸 Atletico Madrid (Agg. 5-4) ⚽ Brandt 34′ ⚽ Maatsen 39′ ⚽ Fullkrug 71′ ⚽ Sabitzer 74′ ⚽ Hummels (og) 49′ ⚽ Corea 64′ Dortmund itachuana na PSG…
PSG imetinga nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kufuatia ushindi wa jumla wa 6-4 dhidi ya Barcelona katika dimba la Estadi Olímpic Lluís Companys (Barcelona) kwenye mchezo wa robo fainali. FT: Barcelona 🇪🇸 1-4 🇫🇷 PSG (Agg. 4-6) ⚽ Raphinha 12’ 🟥 Araujo 29’ ⚽ Dembele 40’ ⚽⚽ Mbappé (P) 54’ 89’ ⚽ Vitinha…
Leo hii viwanja viwili vitawaka moto kwenye michuano ya Ligi za mabingwa barani Ulaya [UEFA] ikiwa ni mechi za marudiano na maamuzi nani aende Nusu Fainali na nani abaki. Tengeneza jamvi lako la maana hapa maan leo ndiyo leo asemaye kesho muongo. Barcelona ataumana dhidi ya PSG ambapo mechi ya kwanza Xavi aliondoka na ushindi…
CHELSEA ni kicheko mwanzo mwisho baada ya kushuhudia ubao ukisoma Chelsea 6-0 Everton kwenye mchezo wa Ligi Kuu England. Mabao ya Cole Palmer aliyekuwa katika ubora wake na alitupia mabao manne ilikuwa dakika ya 13, 18, 29, 64 kwa mkwaju wa penalti. Nicolas Jackson alitupia bao moja dakika ya 44 sawa na Alfie Gilchrist dakika…
MATAJIRI wa Dar Azam FC sio kinyonge ndani ya Ligi Kuu Bara kutokana na kasi wanayokwenda nayo kwenye mechi za ushindani msimu wa 2023/24. Timu hiyo imekuwa kwenye ubora ndani ya uwanja kutokana na rekodi bora inazopata na mchezo wake uliopita ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Majaliwa ukisoma Namungo 0-2 Azam FC mabao yote yakifungwa…
KUNA miamba ndani ya Ligi Kuu Bara inafunga na kutoa pasi za mabao jambo ambalo linawafanya wahusike kwenye mabao mengi kwenye timu zao. Clatous Chama, Aziz KI, Pacome na Maxi kwa upande wa viungo huku mshambuliaji akiwa ni Wazir Junior
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa upo tayari kwa maandalizi ya mechi zake zote ziazofuata ndani ya Ligi Kuu Bara ikiwa ni pamoja na Kariakoo Dabi dhidi ya Yanga. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa Aprili 20 2024 ambapo Simba itakaribishwa na vinara wa ligi Yanga wenye pointi 55 huku Simba ikiwa nafasi ya…
Iringa na Tanga Lushoto husifika kwa uzalishaji wa mtaunda kwa wingi hapa Tanznaia, je umewahi kujiuliza ni kwa kiasi gani kilimo cha matunda na biashara ya matunda ina faida kubwa kiasi gani? Kwa mtaji mdogo tu unaweza kuwa bilionea kabisa kama utajishughulisha na uuzaji wa matunda lakini hata kwako wewe mpenzi wa kasino ya mtandaoni…
Ikiwa ni siku nyingine mpya kabisa ya Jumatatu baadhi ya mechi kibao zinaendelea leo hii abapo Meridianbet tayari wameshakuwekea ODDS KUBWA na machaguo uyatakayo hivyo ingia na uanze kubashiri sasa. LALIGA kutakuwa na mechi moja kali Osasuna atamenyana dhidi ya Valencia CF. Mwenyeji yupo nafasi ya 11 kwenye msimamo wa ligi huku mgeni akiwa nafasi…
UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa unawatazama wapizani wao Simba kwa utofauti kutokana na uimara walionao hivyo wanawaheshimu kuelekea mchezo wao wa Kariakoo Dabi. Yanga vinara wa Ligi Kuu Bara wanatarajia kukutana na Simba kwenye mchezo wa Karikoo Dabi unaotarajiwa kuchezwa Aprili 20 2024. Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wanatambua ukubwa wa mchezo…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kazi kubwa ni kupata pointi tatu kwenye mechi ambazo wanacheza ikiwa ni mchezo dhidi ya Yanga. Kariakoo Dabi inatarajiwa kuchezwa Aprili 20 2024 ambapo Yanga walimabingwa watetezi watawakaribisha Simba. Simba imetoka kupata pointi moja dhidi ya Ihefu kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Liti. Ahmed Ally, Meneja wa…
JOTO ya Kariakoo Dabi inazidi kupanda ambapo kuelekea mchezo huo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Aprili 20 Yanga wameweka wazi kuwa wapo tayari kupata matokeo ndani ya uwanja
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumatatu
USHINDI waliopata Azam FC kwa kushuhudia ubao wa Uwanja wa Majaliwa ukisoma Namungo 0-2 Azam FC unawaongezea nguvu kubaki nafasi ya pili ndani ya msimamo wa Ligi Kuu Bara. Matajiri wa Dar, Azam FC wameikanda Namungo ikiwa nyumbani mzunguko wa pili na kulipa kisasi cha kufungwa mzunguko wa kwanza walipokuwa Uwanja wa Azam Complex. Mabao…
Ni wakati mwingine tena wa kufahamu kuhusu Michezo ya Kasino ya Mtandaoni iliyopo Merdianbet. Fruit Salad 100 unakupa nafasi ya kushinda kwa kiwango cha 96.06% Bonasi za kasino na alama nyingi za ushindi. Fruit Salad 100 ni kasino ya mtandaoni kutoka kwa mtoa huduma Gaming Global. Katika mchezo huu, kuna ishara mbili maalum. Majokeri…