AZIZ KI, JOYCE LOMALISA, MKUDE WANASEPA YANGA? ISHU IPO HIVI
KAZI imeanza ambapo kuna nyota ndani ya kikosi cha Yanga wanatajwa kuwa kwenye hesabu za kuongezewa kandarasi mpya na wengine kukutana na THANK YOU kwa ajili ya kwenda kupata changamoto mpya.