
CHAMA MZEE WA MAAMUZI MAGUMU
KIUNGO wa Yanga, Clatous Chama ni yuleyule wa maamuzi magumu kwenye mechi ambazo anapewa nafasi ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Oktoba 22 2024 alifunga bao lake la kwanza kwenye ligi kwa pigo la faulo akiwa nje ya 18 mbele ya JKT Tanzania na alitoa pasi moja dakika ya 23 kwa…