MERIDIANBET YAJA NA PROMOSHENI YA KIBABE SANA

Wababe wa michezo ya ubashiri Tanzania Meridianbet safari hii wameamua kuwapa kipaumbele wateja wanaotumia mtandao wa Tigo Pesa kufanya miamala yao kwenda Meridianbet na kufanya ubashiri kwa kuwaletea promosheni ya Saka Bajaji na Tigo Pesa. Promosheni hii ya Saka Bajaji na Tigopesa itaanza tarehe 01 November 2024, na itaisha Desemba 31 2024 saa 5:59 usiku…

Read More

CHEZA RICH PANDA USHINDE MKWANJA

Mchezo wa kasino ambao unaweza kukufanya ukashinda mkwanja kiurahisi kwasasa unapatikana pale Meridianbet na sio mchezo mwingine ni Rich Panda, Cheza mchezo huu uweze uibuke na kitita cha kutosha. Mchezo huu wa Rich Panda unatoa nafasi kubwa ya kuweza kushinda kitita kutokana na namna rahisi ya kuweza kucheza mchezo huu, Pitia tovuti ya Meridianbet sasa…

Read More

BREAKING: GRACE MAPUNDA (TESSA) AFARIKI DUNIA

Habari za kusikitisha zilizotufikia asubuhi hii ya Novemba 2, 2024 zinaeleza kuwa, muigizaji nguli wa Bongo Movies, Grace Mapunda almaarufu Tessa anayeng’ara kwenye Tamthiliya ya Huba amefariki dunia. GLOBAL TV imezungumza na Meneja Uzalishaji (Production Manager) wa Huba Series aitwaye Saffi ambaye amethibitisha kutokea kwa msiba huo mzito. Saffi amesema Tessa amefariki dunia alfajiri ya…

Read More

YANGA YAIPIGA MKWARA AZAM FC

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa hawana hofu na wapinzani wao Azam FC licha ya timu hiyo kupata muda mrefu wa kufanya maandalizi kuelekea mchezo wao wa Dar Derby katika NBC Premier League. Ikumbukwe kwamba Azam FC mchezo wake uliopita ilicheza dhidi ya Ken Gold na kupata ushindi wa mabao 4-1 inakutana na…

Read More

Timiza Ndoto Zako na Meridianbet Sasa

Anza taratibu kutimiza ndoto zako na Meridianbet siku ya leo kwa kusuka jamvi lako la uhakika kwani mechi kibao zinapigwa leo na odds zao zikiwa ni kubwa sana. Jisajili na ubashiri sasa. Ligi kuu ya Italia SERIE A, kuna mechi zenye kukupatia pesa Bologna kuchuana dhidi za US Lecce ambapo timu zote zimetoka kushinda mechi…

Read More

MASHUJAA WAPOTEZA MBELE YA SIMBA JIONI

MSHAMBULIAJI wa Simba, Steven Mukwala maarufu kama mshambuliaji mrefu kuliko goli, mipira ya juu haruki ni waa, leo Novemba Mosi amefunga bao kwa kurukia mpira wa juu. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Lake Tanganyika umesoma Mashujaa 0-1 Simba bao likifungwa na Mukwala kwa pigo la kichwa baada ya kuruka juu kuufuata mpira…

Read More