
HII HAPA RATIBA YA SIMBA KIMATAIFA
WAWAKILISHI wa Tanzania katika anga la kimataifa Simba kwenye Kombe la Shirikisho Afrika wanakete zao kusaka pointi tatu muhimu. Simba kutoka ligi namba sita kwa ubora Afrika katika Ligi Kuu Bara wanaongoza wakiwa na pointi 40 baada ya kucheza mechi 15. Januari 5 itakuwa SC Sfaxine v Simba, ngoma itapigwa saa 1:00 usiku itakuwa 2025,…