HII HAPA RATIBA YA SIMBA KIMATAIFA

WAWAKILISHI wa Tanzania katika anga la kimataifa Simba kwenye Kombe la Shirikisho Afrika wanakete zao kusaka pointi tatu muhimu. Simba kutoka ligi namba sita kwa ubora Afrika katika Ligi Kuu Bara wanaongoza wakiwa na pointi 40 baada ya kucheza mechi 15. Januari 5 itakuwa SC Sfaxine v Simba, ngoma itapigwa saa 1:00 usiku itakuwa 2025,…

Read More

HII HAPA RATIBA YA YANGA KIMATAIFA

KUTOKA Ligi Kuu Bara namba 6 kwa ubora Afrika, Yanga inaoeperusha bendera katika Ligi ya Mabingwa Afrika na itakuwa na kete 3 2025 kusaka nafasi ya kutinga hatua ya robo fainali. Ni Januari 4 2025 dhidi ya TP Mazembe, Uwanja wa Mkapa saa 10:00 jioni katika mchezo uliopita walipokutana Yanga iligawana pointi moja na miamba…

Read More