GUSA ACHIA TWENDE KWAO….!! YATIMUA KOCHA WA FOUNTAIN GATE KMC
Fountain Gate yalivunja benchi lote la ufundi baada ya kupokea kipigo cha bao 5-0 mbele ya Yanga SC.
Fountain Gate yalivunja benchi lote la ufundi baada ya kupokea kipigo cha bao 5-0 mbele ya Yanga SC.
GUSA achia twende kwao ya Yanga leo Desemba 29, 2024 imezaa jumla ya magoli 13 kwenye mechi tatu zilizopita baada ya kushusha kipigo cha 5-0 dhidi ya Fountain Gate Fc katika dimba la KMC Complex. Yanga ambao wapo nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi imefunga jumla ya magoli 32 huku ikiruhusu magoli sita na…
Watu takriban 124 kati ya 181 hadi sasa wamethibitika kufariki dunia baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kupata ajali na kudondoka wakati inatua katika uwanja wa ndege wa Muan nchini Korea Kusini ilipokuwa ikitokea Bangkok, Thailand. Video mbalimbali mtandaoni zinaonesha ajali hiyo ya ndege aina ya Boeing 737-800 inayosimamiwa na Shirika la ndege la Jeju Air,…