SINZA UZURI YAFIKIWA NA MERIDIANBET

Leo imekua siku nzuri kwa familia kadhaa katika eneo la Sinza Uzuri ambapo Meridianbet wamefika katika eneo hilo wakihakikisha wanarejesha furaha kwa familia hizo kwa kutoa mahitaji ambayo yatawasaidia. Meridianbet leo wamefika eneo la Sinza Uzuri jijini Dar-es-salaam na kuhakikisha wanatoa msaada wa mahitaji ya chakula kwa familia kadhaa ambazo hazina uwezo wa kutosha, Hii…

Read More

JIUNGE NA MASHINDANO YA EXPANSE SLOT YA MERIDIANBET UPATE NAFASI YA KUSHINDA.

Wapenzi wa michezo ya kubashiri mnaalikwa kushiriki katika Mashindano ya Expanse Slot, yaliyopo mubashashara katika tovuti ya Meridianbet hadi Desemba 31, 2024. Tukio hili maalum linapatikana kwa wachezaji wote waliosajiliwa kwenye tovuti na programu ya Meridianbet. Washiriki wanayo nafasi ya kushiriki michezo mbalimbali ya Expanse slot na kushindania zawadi za kusisimua. Ili kushiriki mashindano haya,…

Read More

SINGIDA BLACK STARS YAIPIGA MKWARA SIMBA

UONGOZI wa Singida Black Stars umeweka wazi kuwa upo tayari kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba, Desemba 28 2024 wanachohitaji ni pointi tatu muhimu. Singida Black Stars baada ya kucheza mechi 15 imepata ushindi kwenye 10 ikiambulia sare katika mechi 3 na kupoteza ni mechi mbili pekee ndani ya msimu wa 2024/25….

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA BONGO

HII hapa ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ushindani wake unazidi kuwa mkubwa kila iitwapo leo ndani ya uwanja. Desemba 27 2024 Azam FC v JKT Tanzania, saa 1:00 usiku itakuwa Uwanja wa Azam Complex. Desemba 28 2024 Singida Black Stars v Simba, saa 10:00 jioni, itakuwa Uwanja wa Liti. Dodoma Jiji v Mashujaa,…

Read More