MUTALE AWEKWA BENCHI, AHOUA NAYE

KIUNGO Joshua Mutale ameanza benchi kuelekea mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ken Gold unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Azam Complex. Wengine waliopo benchi ni Ally Salim, Hamza, Zimbwe Jr, Kagoma, Okejapha, Jean Ahoua, Mukwala, Mashaka na Alexander. Kikosi cha kwanza ni Camara, Kijili, Nouma, Chamou, Che Malone, Mzamiru Yassin akiwa na kitambaa cha unahodha….

Read More

DAKIKA 450 SIMBA IMEKIMBIZA, KAZI NYINGINE LEO

KATIKA mechi tano zilizopita ndani ya Ligi Kuu Bara Simba imefunga jumla ya mabao 10 kwa safu yake ya ushambuliaji inayoongozwa na Leonel Ateba, Steven Mukwala wenye mabao mawilimawili, kinara kutoka Simba kwenye upande wa kutupia ni Jean Ahoua mwenye mabao matano na pasi nne za mabao. Timu hiyo imekuwa na mwendelezo mzuri ndani ya…

Read More

SIMBA KUBADILI MBINU MBELE YA KEN GOLD

KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids amesema kuwa kuelekea katika mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ken Gold watabadili mbinu kupata matokeo chanya. Simba itawakaribisha Ken Gold, Uwanja wa KMC Complex ikiwa ni mchezo wa mzunguko wa kwaza unaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Timu hiyo metoka kucheza mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika…

Read More